Jumla ya asasi 157 za kiraia zimepewa kibali na Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajali ya kutoa elimu ya mpigakura ...
SERIKALI imeridhia hoja ya kuongeza muda wa likizo ya uzazi kwa mwajiriwa ambaye atajifungua mtoto njiti kwa kujumuisha na muda uliobaki kufikia wiki 40 za ujauzito huku baba akipewa siku saba za mapu ...
DAR ES SALAAM: MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru mmiliki wa Hospitali ya Salamaan, Dk Abdi Warsame ,60, kulipa kiasi cha Sh milioni 24.8 baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuisababishia ...
Bunge limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria za Kazi namba 13 wa Mwaka 2024, ambapo sasa likizo ya uzazi kwa mwajiriwa ...
Sio wavumbuzi wote wana bahati. Wengine wanakuwa maarufu kwa ubunifu wao na kuna hata wale ambao wanaingia katika historia ...
Baada ya Nipashe kutoa ripoti ya uchunguzi iliyoonesha ni kwa namna gani hali ya rushwa kwa askari wa usalama barabarani ilivyokithiri mkoani Kigoma. Jeshi la polisi mkoani humo limewashikilia askari ...
KIPUTE cha El Clasico huenda kikahamishiwa Uwanja wa Wembley baada ya Barcelona kushindwa kukamilisha maboresho ya uwanja wao wa Nou Camp ambao utagharimu Pauni 1.25 bilioni.
Rais Donald Trump ameamuru maafisa wa Marekani kuandaa mipango ya “kurudisha mara moja” wahamiaji wasiokuwa na hati za ...
Miongoni mwa masuala ya Afrika yaliyoangaziwa na magazeti ya Ujerumani wiki hii, ni pamoja na mzozo wa Jamhuri ya ...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma imekamata mbolea ya ruzuku iliyokuwa ikiuzwa kwa bei ya ...
NGOJA tuone leo itakuwaje pale ambapo Tabora United, vijana wa kocha Anicet Kiazayidi watakapokuwa wenyeji wa Simba inayonolewa na Fadlu Davids katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ...
RAIS Donald Trump ameamuru maafisa wa Marekani kuanza kutekeleza mpango wa kurudisha wahamiaji wasiokuwa na hati za kisheria, ...