Katika kushangilia bao hilo, Haaland akaenda kuuchukua mpira wavuni na kumpiga nao kichwani beki wa Arsenal, Gabriel.
JANA tulianza mfululizo wa makala maalumu juu ya ukiukwaji wa Kanuni ya Leseni za Klabu kuhusiana na timu za vijana tukaona ...
Gor Mahia wamemtangaza kocha mpya kutoka Croatia, Sinisa Mihic, kama kocha wao mkuu. Mihic, mwenye umri wa miaka 48 na mwenye ...
MSHAMBULIAJI wa Yanga Princess, Ariet Udong anayefananishwa na nyota wa Yanga, Aziz KI atakuwa nje ya uwanja kwa miezi minne akiuguza majeraha ya mguu.
Kwenye jumba hilo, Simeone anaishi na mkewe, mrembo matata kabisa, Carla Pereyra, ambaye amepata naye watoto wawili wa kike, ...
NYOTA mpya wa KenGold, Bernard Morrison ‘BM3’, huenda akakosa baadhi ya michezo ya kikosi hicho baada ya kupewa programu ...
BAADA ya kucheza mechi 11 bila ushindi wowote, Mlandizi Queens wiki hii itakuwa ugenini kujiuliza mbele ya JKT Queens.
WIKI iliyopita Singida Black Stars iliripoti kuwa imemuuza mshambuliaji wake Mtanzania Selemani Mwalimu ‘Gomez’ kwenda Wydad ...
BEKI wa kati, Virgil van Dijk amemtaka mchezaji mwenzake kwenye kikosi cha Liverpool, Mohamed Salah kusaini mkataba mpya wa ...
WINGA wa Tanzania, Simon Msuva anayekipiga katika klabu ya Al Talaba ya Iraq amesema uzoefu alioupata kucheza ligi mbalimbali ...
PEP Guardiola amekiri kushindwa kumshawishi gwiji wa Barcelona, Sergio Busquets kwenda kukipiga Manchester City.
MSHAMBULIAJI wa Al Nassr inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Saudia, Clara Luvanga amevunja rekodi ya msimu uliopita wa ...